• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

RC Arusha adai anaheshimu mawazo ya kila mtu, afurahishwa na kampeni ya Usafi

Posted on: June 5th, 2021

RC Arusha adai anaheshimu mawazo ya kila mtu, afurahishwa na kampeni ya Usafi

Na Mwandishi wetu

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema kuwa anaheshimu mawazo ya kila mtu  kwa kuamini kuwa hakuna mtu mwenye akili timamu asiyekuwa na wazo la kujenga. 

Mh.Mongella amewataka wananchi wenye mawazo ya namna yakujenga Mkoa wa Arusha na Halmashauri zao kumshirikisha.

Akizungumza wa wadau wa maendeleo ya Utalii, wananchi wa Jiji la Arusha ,Viongozi wa Jiji la Arusha, wakati wa zoezi la usafi mlima Suye alieleza kufurahishwa na kampeni ya usafi kwenye vivutio vya Utalii ikiwemo Mlima Suye kampeni inayoongozwa na Meya ya Jiji la Arusha pamoja na Wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Arusha chini ya usimamizi wa Dk.John Pima.

Mh.Mongella alisema kuwa  Jiji la Arusha linakwenda kuwa mfano wa usafi na kutunza mazingira na kwamba mawazo ya wadau ni muhimu katika kuboresha vivutio vya Utalii. 

Mh.Mongella alisema kuwa anaamini katika Umoja na mshikamano kuwa amebaini Arusha kuna mshikamano na Umoja na kwamba kiongozi atakayejitenga atatafutwa aje aungane na wengine katika Umoja.

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh.Kenan Kihongosi alimshukuru Mkuu wa Mkoa pamoja na kumpongeza Meya wa Jiji la Arusha pamoja na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwa kuanzisha kampeni hiyo  yenye manufaa kwa maendeleo. 

Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqhe  alisema kuwa zoezi la usafi katika Jiji la Arusha ni endelevu kwamba baada yakumaliza kufanya usafi katika vivutio vya kitalii sasa watakwenda kufanya katika masoko yaliyopo Jiji la Arusha. 

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima akielezea kampeni hiyo alisema kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha ina mipango kabambe yakuboresha miundo mbinu katika maeneo yenye vivutio vya Kitalii. 

Alisema Mlima  Suye ni miongoni mwa vivutio vitakavyowekewa miundo mbinu ikiwa ni kuwezesha watu kupanda kwa urahisi hadi KiIeleni. 

Mkuu wa Mkoa wa Arusha pia alipanda miti ikiwa  ni ishara ya Utunzaji na uhifadhi wa mazingira katika Mlima Suye. 


PICHANI : Matukio mbalimbali katika picha kwenye zoezi la kampeni ya Usafi inayoendelea Jijini Arusha ambapo viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Arusha wakiwemo Mkuu wa Mkoa Ndg. John Mongella, Mkuu wa Wilaya Mh.Kihongosi, Mstahiki Meya Mh. Maximilian Iranqhe, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt John Pima na wadau mbalimbali wa maendeleo waliweza kushiriki. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa