• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

RC kuwashukia waratibu wa TASAF Mkoa wa Arusha

Posted on: August 10th, 2021

Na Mwandishi wetu

Mkuu wa Mkoa Arusha John Mongela amesema hatawavumilia Waratibu wa Mpango wa kunusuru Kaya maskini (TASAF) ambao watabainika kuwa hawana uadilifu katika zoezi la kutambua wanufaika kutoka kaya masikini. 

Mh .Mongela anasema kuwa baadhi ya Halmashauri nchini waratibu wanashindwa kutekeleza wajibu wao na kushindwa kutambua wanufaika halisi na kwamba katika Mkoa wa Arusha hatawavumilia waratibu kama hao.

Akizungumza katika kikao kazi cha kuwajengea uelewa  Madiwani, Watendaji na Wawezeshaji wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhusu mpango wa TASAF kwa kipindi hiki cha pili katika awamu ya pili alisema kuwa waratibu wakiwa makini  ni wazi kuwa miradi ya TASAF itatekelezwa kwa uadilifu.

Alisema kuwa hataruhusu kasoro  zilizojitokeza kwenye awamu iliyopita zakuandikisha watu wasio na sifa nakuwataka waratibu kuwa makini katika kutambua kaya maskini. 

"Niwasihi sana Wawezeshaji na waratibu kuongozwa na uzalendo na uadilifu katika kutekeleza majukumu yenu kwa ukaribu ili kuendeleza mazuri yote yaliofanyika awali kwa miaka 7 ya utekelezaji wa miradi ya TASAF. 

Awali Mkuu wa Wilaya ya Arusha Dk.Sophia Mjema akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha kufungua mafunzo hayo alisema kuwa ataungana na wataalam na waratibu wa mpango wa kunusuru kaya maskini katika zoezi lakubaini wanufaika wenye Sifa. 

Mh .Mjema alisema kuwa ni matamanio yake kuona kila mtu mwenye sifa anapata ruzuku ya mpango wa kunusuru kaya maskini na hatimaye kubadili hali yao ya maisha. 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk. John Pima alishukuru TASAF kwa kuipa upendeleo Halmashauri ya Jiji la Arusha na kutoa mafunzo pamoja kuzindua mpango huo kwa awamu ya Pili .

Dk.Pima alisema kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha itatekeleza kwa uadilifu zoezi lakutambua wanufaika wa mpango huo katika kata zilizopo katika Halmashauri hiyo. 

Mafunzo na semina hiyo imefanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa