• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

RC Mongella awahimiza wanaume kupima VVU

Posted on: December 1st, 2021

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh. John Mongella amewataka wanaume kujitokeza kupima VVU ili kujua afya zao kwa mstakabali mzuri wa Familia zao  na Taifa kwa ujumla.

Mh. Mongella ametoa wito huo alipokuwa akitoa nasaha zake kwa wana Arusha katika uwanja wa stendi ya daladala wa Kilombero Mkoani Arusha kufuatia maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani inayoadhimishwa Disemba Mosi kila mwaka.


RC Mongella amelitaja kundi la wanawake kuwa ndilo linaloongoza kwa upimaji wa VVU, huku wanaume wakibaki nyuma hivyo amewasihi wanaume kujitokeza kupima wajitambue ili ikiwa watakutwa na maambukizi waanze dozi za kufubaza virusi mapema ili waendelee kuhudumia wanaowategemea na Taifa.

"Nihamasishe wanaume tuunge mkono akina mama tukapime tujue afya zetu, baba na mama wakijua afya zao na kufuata masharti watasaidia sana jamii kwa kuendelea kutunza Familia na Taifa kupitia Uzalishaji mali" - RC Mongella. 

Aidha amewataka vijana kujizuia kufanya ngono kabla ya wakati rasmi na wakishindwa kabisa watumie kinga ili kujinusuru na UKIMWI na magonjwa ya ngono.

Kufuatia kauli yake hiyo amewataka viongozi wa madhehebu kutokumuelewa vibaya katika hilo kwani wako waumini wasiotii na kuishia kupata VVU na kuziacha familia zikiteseja na kulipa Taifa hasara. 

Awali akiwasilisha taarifa, Afisa Maendeleo ya Jamii Jiji la Arusha Bi. Tajiel Mahega ameeleza jitihada walizo tumia kupambana na maambukizi ya VVU mkoani Arusha ambazo ni pamoja na kuhamasisha kata 25 za Jiji la Arusha juu ya maambukizi ya VVU, kutoa elimu na ugawaji kondom 980,000 (KE) na (ME) katika vituo vya mabasi, Ofisi za kata na Idara zilizo katika Jiji la arusha.

Bi. Tajiel anaeleza kuwa licha ya jitihada zote zinazofanyika lakini maambukizi yameongezeka kutoka 2.3% kwa Mwaka 2019/2020 hadi 2.8% kwa Mwaka 2020/2021 na hii ni kutokana kuongezeka kwa idadi upimaji kwa makundi maalum mfano Vijana, Madadapoa na walio athirika na madawa ya kulevya na ufanisi katika upimaji.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa