• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

RC Mongella awataka wakufunzi wa sensa kutanguliza uzalendo na weledi

Posted on: July 26th, 2022

Na Mwandishi Wetu, Arusha 

MKUU wa Mkoa Arusha Arusha, Mhe. John Mongella amewaagiza wakufunzi wa sensa na watu na makazi ngazi ya Mkoa, kuhakikisha wanachukua takwimu sahihi ngazi ya kaya ili kuwezesha serikali kupa ta mipango ya maendeleo kulingana na takwimu sahihi zitakazopatikana.

Pia amewataka kila mmoja kutanguliza uzalendo na weledi katika kazi hiyo na kila mmoja alichukulie kwa uzito wanaostahili kwani linaenda tengeneza njia inayostahili.

Akizungumza leo Jijini Arusha wakati akifunga mafunzo ya wakufunzi wa sensa ya watu na makazi ngazi ya Mkoa yaliyofanyika kwa wiki tatu,Mongella amesisitiza uzalendo katika kazi hiyo sababu ndio msingi wa ufanisi wa kazi hiyo.

"kuweni wazalendo katika zoezi hilo sababu mtapewa vifaa kama vishikwambi mvitunze hii ni mali ya serikali msilete sababu kuweni na umakini wa utunzaji vifaa hivi ili msipoteze amani nahisi serikal mtatupotezea amani kuwa zoezi katika eneo hili halitakamilika kwa wakati,".

Alisema zoezi lifanyike kwa umakini na liishe ndani ya muda,ili kuleta sifa inayostahili ndani ya mkoa huo.

"Tangulizeni uzalendo katika kazi hii ni muhimu sababu serikali imetoa fedha nyingi kukamilisha kazi hii,hivyo umakini uwe mkubwa na nyie ndio inawategemea kufanikisha zoezi la sensa kwa umakini mkubwa,"

Aidha alisema serikali inafanya masuala mengi ya maendeleo na kupata sifa nyingi,lakini zikipatikana takwimu sahihi maendeleo yatafanyika zaidi ya sasa kulingana na takwimu sahihi zitakaopatikana.

"Kila mtu ana nafasi yake na anatakiwa kufanya kitu kwa nchi msijidharau nafasi hii mmepata ya kihistoria kwenu nanyi simamieni kuhakikisha inasaidia serikali kwa kufanya kazi vizuri,.

Naye Mkufunzi Mkuu wa mafunzo hayo, Mdoka Omari alisema jumla ya wakufunzi 15wamepata mafunzo ngazi ya Taifa kwa siku 21 mkoani Iringa na ngazi ya Mkoa kwa wiki tatu.

"Lakini hapa katika mafunzo yetu jumla ya watumishi 329 kutoka Halmashauri zote za mkoa huu,kundi la watu wenye ulemavu na baadhi ya Taasisi zinazoshirikiana na serikali katika masuala ya sensa,"alisema.

Alisema washiriki alipewa majaribu ya kuwapima ili kuona tayari wao wqtakapokwenda ngazi za kata kutekeleza majukumu yao na walifanya vizuri.

Naye mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Athumani Kihamia ambaye ni Ofisa Mipango Mkoa wa Arusha , Said Mabiye alisema wanataraji sensa ya watu nanmakazi itawasaidia kupata takwimu sahihi. 

Alisema upatikanaji wa takwimu sahihi kunawezesha  upangaji wa mipango ya maendeleo kulingana na idadi halisi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa