• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

RC MONGELLA KULA SAHANI MOJA NA WANAOCHOCHEA VITENDO VYA USHOGA

Posted on: April 20th, 2023

Na Mwandishi Wetu 

Arusha. 

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amekemea uwepo wa vitendo vya ulawiti na ushoga nakubainisha kuwa endapo watabaini  Taasisi yoyote inayojihusisha na Ushoga au mtu yoyote hawatamvumilia na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mhe. Mongella  ametoa wito huo leo Aprili 20, 2023 wakati akizindua Wiki ya Maadhimisho ya  miaka 59  ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kimkoa yaliyokwenda sambamba na Uzinduzi wa vyumba vinne vya madarasa katika Shule ya sekondari kaloleni.

Mongela amesema kumekuwa na tetesi za uwepo wa Taasisi zinazojihusisha na kutoa elimu ya vitendo vya ushoga, usagaji na ulawiti na kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufuatilia Taasisi hizo pamoja na  Kuwataka wanafunzi kuripoti taarifa  za ushoga pindi wanapokutana nazo wawapo Shuleni au majumbani.

"Kuna watu wanatajwa Arusha Kuna Taasisi Mimi vyombo vya ulinzi na usalama nilishatoa maelekezo Taasisi hizi tuzifatilie hakuna mtu ataonewa Wala kunyanyaswa Ila ukithibitika nitakushughulikia alisema Mongella "

Aidha  amesema Serikali imeweka mkazo kwenye elimu na inapambana kupata vijana bora ili kuwa na Taifa endelevu na kuwataka Wanafunzi kuzingatia  elimu na kuongeza kuwa kuwekeza kwenye elimu kutasaidia kuwa na Taifa bora zaidi. 

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa alisema hali ya ulawiti na ushoga ni mbaya sana na kuwaomba walimu kuwasaidia mashuleni  kuwa pasiwepo na Taasisi yoyote inayoenda kufundisha mashuleni bila uongozi wa Wilaya kuwa na taarifa kwani  kumekuwepo na Taasisi zinaenda kwa lengo lingine ambalo limejificha. 

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Hargeney Chitukuro akitoa taarifa ya mradi wa madarasa manne katika Shule ya sekondari kaloleni amesema mradi huo ulianza October 28 ,2022 na unathamani ya shilingi milioni 80 ukiwa na viti na meza. 

"Mradi huu ulianza baada ya kupokea fedha kiasi cha Shilingi milioni 80 kutoka Serikali kuu lengo likiwa ni kupunguza uhaba wa madarasa ili wanafunzi watakao ingia sekondari mwaka huu 2023 waweze wote kuingia darasani na lengo limetimia madarasa hayo yamekamilika na yanatumika ,alisema Chitukuro"

Naye shukuru Daniel mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya sekondari kaloleni ameishukuru serikali kwa kuwajengea vyumba vya madarasa Shuleni hapo na kuahidi kusoma kwa bidii ili waweze kusaidia nchi kuweza kuendelea kiuchumi katika sekta mbali mbali. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI June 19, 2025
  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa