• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

SERIKALI YARIDHISHWA NA MIRADI YA MIUNDO MBINU JIJINI ARUSHA

Posted on: March 10th, 2021

Serikali yaridhishwa na miradi ya miundo mbinu Jijini Arusha. 

Na Mwandishi wetu 

SERIKALI imesema kuwa imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya miundo mbinu ya elimu na miradi mingine ya  maendeleo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na  kwamba imetekelezwa kwa viwango vinavyotakiwa kulingana na  fedha zilizotolewa kwa miradi husika .

Mkuu wa Wilaya ya Arusha  Mh .Kenan Kihongosi ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwenye mkutano wa robo ya Pili wa Baraza la Madiwani katika Ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa. 

Mh.Kenan alisema kuwa anajivunia kuona fedha za miradi zilizotolewa na Serikali ya  Mh. Dk.John Pombe Magufuli na kwamba miradi imekamilika kwa asilimia 95 kwamba kukamilika kwa miradi hiyo ikiwa ni pamoja na miradi ya Elimu  imewezesha wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza bila kikwazo.

Aliendelea kwa kumpongeza Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk. John Pima kwa kusimamia vyema fedha za Serikali na kuwezesha miradi kukamilika kwa wakati. 

Pamoja na mambo mengine alisema kuwa mafanikio hayo yamepatikana kwa ushirikiano wa madiwani na wataalam na kudai kuwa Serikali inajivunia uongozi huo. 

Awali Mh. Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranqhe alipongeza jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arusha kwa kushiriki kikamilifu katika Ujenzi wa madarasa mwaka 2020 na kwamba Mkuu wa Wilaya ya Arusha  Mh. Kenan Kihongosi ni mfano wa kuigwa. 

Mh .Iranqhe alisema kuwa nia ya Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha nikuwaletea Wananchi Maendeleo na kudai kuwa Arusha itakuwa mji wa mfano kwa kuwaletea wananchi maendeleo. 

Mkutano huo wa Baraza unahudhuriwa na wadau mbali mbali wa maendeleo ikiwa ni pamoja na Wananchi wa Jiji la Arusha.


MATUKIO KATIKA PICHA : MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA 2021


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa