• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Serikali yatenga Tsh. Trilioni 2.87 kuimarisha Elimu Nchini

Posted on: September 24th, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Serikali imetenga Jumla ya Shilingi Trilioni 2.78 kwaajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya Elimu ya Msingi na Sekondari kwa kipindi cha Miaka mitano(5) yaani 2022 hadi 2027 kupitia miradi mbalimbali ya Elimu ikiwemo miradi mikubwa mitatu ambayo ni Mradi wa Kuboresha Elimu Sekondari (SEQUIP), Mradi wa Kuboresha Elimu ya Awali na Msingi (BOOST) na Program ya Kutekekeza Elimu kwa Matokeo (EP4R). 


Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Innocent Bashungwa wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya  Maendeleo ya Elimu nchini kupitia Mkutano na Wanahabari ambao umefanyika leo Septemba 24, 2022 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Arusha.  

Mhe. Bashungwa  amesema ndani ya mwezi huu fedha zitatolewa kwenye kila Halmashauri ya ujenzi wa Madarasa 8, 000 kwa Maandalizi ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2023. 

Waziri Bashungwa ametoa taarifa hiyo ya utekelezaji wa miradi ya Elimu kwa kuwaagiza wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi nchi nzima kusimamia thamani ya fedha hizo katika utekelezaji wa miradi hiyo na kukamilika kwa wakati kama ilvyopangwa na kwa atakayefanya udanganyifu au ubadhilifu wowote wa fedha hizo atachukuliwa hatua kali za kisheria.

Aidha waziri Bashungwa amesema Kwa mwaka wa fedha 2021/22  kiasi cha Shilingi bilioni 669.85 kimetengwa kwaajili ya utekelezaji wa miundombinu ya elimu Msingi na Sekondari.

Waziri bashungwa ameeleza maeneo kwa upande wa Elimu Msingi yatakayoboreshwa  ni pamoja na miundo mbinu ya majengo ya Utawala, ujenzi wa vyumba vya madarasa 9770 na nyumba za walimu 40, ujenzi wa maktaba, matundu ya vyoo, nyumba za walimu, mabweni, mabwalo ya chakula,vyumba vya TEHAMA, na kuboresha Mafunzo kwa walimu na ununuzi wa vifaa vya TEHAMA. Na upande wa Elimu Sekondari ni ujenzi wa Shule mpya za kata 184 Shule 1 kila Halmashauri na Shule 5 za the bweni za wasichana kwa Mikoa ya Katavi, Manyara, Mbeya, Morogoro na Tanga. 

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Hargrney Chitukuro amesema kuwa amepokea maelekezo ya Serikali juu ya kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miundombinu elimu na Msingi na kwamba atakuwa mstari wa mbele kuhakikisha maelekezo yanaenda sawa kwa ustawi wa wananchi na nchi kwa ujumla. 





Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa