• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Shilingi milioni 397.5 yatolewa kwa vikundi vya kina Mama, Vijana na watu wenye ulemavu jijini Arusha

Posted on: June 21st, 2019

Katibu Tawala Wilaya ya Arusha Ndg. David Mwakiposa kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Arusha  leo Tarehe 21 juni 2019 amekabidhi hundi ya mfano yenye thamani ya Shilingi 397,500,000/= ambapo shilingi 190,000,000/= zimetolewa   kwa vikundi 38  vya wanawake, shilingi 165,000,000/= kwa   vikundi 29 vya vijana  na shilingi 42,500,000/= kwa vikundi 9 vya watu wenye ulemavu kutoka katika kata 25 za Jiji la Arusha ikiwa ni mikopo ya robo ya nne kwa mwaka wa fedha 2018/2019.    


Akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vikundi hivyo Ndg. David Mwakiposa amesema kuwa ni serikali ya awamu ya tano pekee  chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli ndio imeweza kutenga asilimia 2 kwa watu wenye ulemavu kati ya asilimia 10 ya fedha za ndani za Halmashauri zinazotolewa kama mikopo ya kuwawezesha wananchi kiuchumi   hivyo wananchi wanapaswa kuunga mkono jitihada za serikali na walengwa wa mikopo hiyo kuhakikisha wanarejesha fedha hizo kwa wakati ili ziweze kusaidia wengine.

Pichani: Walengwa wa mikopo wakipatiwa mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali mapema leo hii katika ukumbi wa Arusha School uliopo jijini Arusha.                                            *********************                                                            “Lengo la mikopo hii ni kuwawezesha wananchi kiuchumi, ni matamanio yangu siku moja wanufaika wapige hatua zaidi ili waweze kujitegemea na kuanzisha taasisi za kifedha kwa ajili ya  kuinua watanzania wengine kiuchumi ili Taifa liweze kukua” Alisema Ndg. Mwakiposa.

Aliongeza kwa kutoa pongezi kwa Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt. Suleiman Madeni pamoja na wataalamu wote wa Halmashauri kwa kuhakikisha fedha zinatengwa kwa ajili ya kuwainua wananchi kiuchumi na kuwapatia wanufaika wa mikopo hiyo mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali.

Naye Kaimu Afisa Maendeleo ya jamii  Jiji la Arusha Bi. Rahiya Nasoro amesema kuwa kwa sasa changamoto ya vikundi kutorejesha fedha kwa wakati imepungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na miaka ya nyuma hivyo wananchi wanapaswa kuendelea na moyo huo ili fedha hizo ziweze kusaidia wengine.


Mikopo hiyo inayotolewa kwa mujibu wa Sheria na miongozo imeelekeza asilimia kumi (10%) ya Mapato ya ndani ya Halmashauri kutolewe kama Mikopo isiyokuwa na riba kwa  vikundi vya wanawake 4%  , vijana 4% na watu wenye ulemavu 2%.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa