• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Tasaf jiji la Arusha yapongezwa kwa miradi shirikishi kwa wananchi

Posted on: June 18th, 2019

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF) jiji la Arusha umepongezwa kwa kutoa fursa kwa walengwa wanaonufaika na zoezi la uhawilishaji wa fedha kwa kaya masikini kuibua miradi ya ukarabati wa barabara katika mitaa saba ya jiji la Arusha.

Pongezi hizo zimetolewa kufuatia ziara ya kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha wakiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro pamoja na Katibu tawala wilaya ya Arusha Ndg. David Mwakiposa iliyofanyika jana tarehe 17/06/2019 lengo ikiwa ni usimamizi na utekelezaji wa ilani ya chama hicho katika ngazi ya Wilaya.

Akiongea wakati wa ziara hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Ya Arusha Mhe. Joseph Massawe amesema miradi yote inayoendeshwa chini ya TASAF katika jiji la Arusha ni mfano wa kuigwa kwa halmashauri zote nchini kwani kwa licha ya kuwa inawasaidia wananchi masikini lakini pia imeweza kutoa fursa kwa walengwa wenyewe kuibua miradi ya ukarabati wa barabara katika mitaa 7 kati ya mita 70 inayonufaika na mpango wa uhawilishaji wa fedha katika jiji la Arusha.

Naye Mratibu wa TASAF jiji la Arusha Bi. Tajiel Mahega ameitaja mitaa inayohusika na miradi ya ukarabati wa barabara kuwa ni mtaa wa Kikwakaru B, mtaa wa Madukani, mtaa wa Oloresho, Mtaa wa Olmot Mateves, mtaa wa Mtoni, mtaa wa Block F na mtaa Viwandani.

“Miradi yote saba imefanyika katika ubora na ufanisi kwa kushirikiana na mafundi pamoja na walengwa wa mitaa husika ili kufanikisha ukarabati huo ambao unatarajiwa kukamilika tarehe 30/06/2019” alisema Bi. Tajiel

Sambamba na ziara hiyo pia kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Arusha ilishuhudia zoezi la Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro kukabidhi mradi wa ujenzi wa nyumba ya mwalimu wenye gharama ya shilingi milioni 62 pamoja na uzio wa shule ya msingi Suye uliogharimu shilingi milioni 85, ujenzi ulioanza mwaka 2018 mwezi wa 9 chini ya mradi wa TASAF awamu ya tatu.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa