• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Uhamasishaji wa kampeni ya Talii Kaskazini kwa wanafunzi wa Jiji la Arusha

Posted on: September 4th, 2019

Katika utekelezaji wa mkakati wa kutangaza utalii wa ndani Kanda ya Kaskazini leo tarehe 04/09/2019 Halmashauri ya  Jiji la Arusha imeendeleza kampeni ya Talii Kaskazini kwa kushirikisha wanafunzi wa shule ya msingi Arusha School  ambapo walitembelea Makumbusho ya elimu ya viumbe, Themi Living Garden, Mnara wa Saa (clock tower) na makao makuu ya Jiji la Arusha ambapo walijifunza historia ya Jiji na vivutio vya utalii vilivyopo Jiji la Arusha.

Kampeni  ya Talii Kaskazini ina lengo la kuhamasisha utalii wa ndani na  inajumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga na Manyara.

Kwa mujibu wa Afisa Utalii Jiji la Arusha Michael Ndaisaba ameeleza kuwa kampeni hiyo imeanzia katika Jiji la Arusha kwa kuhamasisha wanafunzi kwani licha ya kuwa ni sehemu ya mafunzo bali pia ni wadau wakubwa wa kuhamasisha utalii wa ndani katika jamii.

Ndaisaba amesema kuwa kampeni ya Talii Kaskazini inalenga kukuza mahusiano ya taasisi zinazohusika na utalii na zitakazoshiriki kutekeleza mkakati huo wa kutangaza utalii wa ndani kanda ya Kaskazini, kukuza uelewa wa vivutio vya utalii kwa wakazi wa kanda ya Kaskazini kwa kuwekeza kwenye utalii wenye gharama nafuu na kwenye maeneo ambayo ni rahisi kufikika, kukuza utamaduni wa kupenda utalii kwa vijana hasa wanafunzi na kuongeza idadi ya watalii wa ndani kufikia 2,000,000  ifikapo mwaka 2021.

Kampeni ya Talii Kaskazini inashirikisha wadau mbali mbali wa masuala ya utalii nchini wakiwemo   Tanzania Tourist Board (TTB), Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Mamlaka ya wasimamizi wanyamapori (TAWA) na wengineo.

Walengwa wa mkakati huu ni wakazi wa Kaskazini mwa Tanzania wakiwemo wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo, waajiriwa kwenye taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali, taasisi za kifedha, wafanyabiashara, vikundi mbalimbali vya jamii na wananchi wa kawaida.

“HII NI TANZANIA ISIYOSAHAULIKA; UTALII WA NDANI UNAANZA NA WEWE, TWENDE TUKATALII”

Wanafunzi wa shule ya msingi Arusha School wakipatiwa historia ya Jiji  na kujifunza vivutio vya utalii vilivyopo Jiji la Arusha


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa