• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Vijana watakiwa kuwa Mabalozi wazuri wa chanjo ya UVIKO-19 kwa jamii

Posted on: August 12th, 2021

VIJANA wametakiwa kuwa chachu ya kufikisha elimu ya UVIKO-19 kwa makundi sahihi ili makundi hayo yaweze kupata Chanjo hiyo na kutakiwa kupuuzia Habari za upotoshaji za mitandaoni na kwamba chanjo hiyo ni salama.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Dk. Sophia Mjema katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani iliyofanyika katika viwanja vya michezo vya Ngarenaro vilivyopo Jijini Arusha.

Mhe. Mjema amesema kwamba takribani asilimia 77 ya watanzania ni vijana na kwamba ndio kundi linalotegemewa katika maendeleo ya nchi ya Tanzania hivyo wanapaswa kuwa mabalozi wazuri kwa Jamii kwa kuwahimiza kushiriki kikamilifu zoezi la uchomaji Chanjo ya UVIKO-19 ili Jamii iwe salama na ugonjwa huo.

'' Kama mnavyofahamu vijana sasa ni asilimia 77, iliyobakia ni ya Wazee kwa hiyo vijana sasa ndio mnaotegemewa kuleta maendeleo ya nchi yetu'' amesema Mh. Mjema.

Kimsingi Mh. Mjema amewataka Vijana kupuuzia Habari za upotoshaji mitandaoni kwa madai kwamba chanjo hiyo sio salama na kusisitiza kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suhulu Hassan imekuwa inawajali wananchi wake.

"Upotoshaji ulikuwepo ninyi vijana naomba mkaufute kwa sababu ukipata chanjo ya UVIKO-19 utajikinga na kuwakinga na wengine" aliongeza Mh. Mjema.

Naye Diwani wa kata ya Lemara Mhe. Naboth Silasie akimwakilisha Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maxmillian Iranqhe amesisitiza umuhimu wa afya bora kwa vijana na kutoa wito kwa wazazi wa Vijana hasa watoto wa kike kupata vipimo vya afya ikiwemo kufanyiwa uchunguzi wa Saratani ya shingo ya kizazi.

Maadhimisho hayo ya siku ya vijana duniani yalipambwa na mada mbali mbali za kuwajengea uwezo, michezo na bidhaa wanazozizalisha vijana hao. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa