• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Viongozi wa CCM Kata ya Levolosi Jijini Arusha wamuunga mkono Dr. Madeni kwa Operesheni yaKe ya ukusanyaji mapato,waomba miundombinu ya Soko la Kilombero iboreshwe

Posted on: October 14th, 2018

Viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) kata ya levolosi jijini Arusha wamempongeza mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dr. Maulid Suleiman Madeni kwa kuanzisha operesheni ya ukusanyaji wa mapato yenye lengo maalum la kuongeza mapato ya jiji.

Pongezi hizo zimetolewa wakati viongozi hao walipomtembelea Mkurugenzi wa jiji ofisini kwake mapema leo hii ambapo Miongoni mwa changamoto zilizoainishwa na katibu wa ccm kata ya levolosi bi. Aisha mara  ni Pamoja na  mpangilio mbovu wa  stendi ndogo ya Kilombero na stendi ndogo ya Miami hali inayopelekea  changamoto ya msongamano wa watu  kwani hakuna mpangilio mzuri wa ruti za daladala wakati wa kupakia abiria

Changamoto nyingine inayoikabili kata ya levolosi ni mazingira kuwa machafu kutokana na wimbi kubwa la wafanyabishwara wadogo almaarufu kama machinga  kutozingatia usafi wa mji.

Kwa  upande wa elimu kata ya levolosi  ina ukosefu wa  Shule ya Sekondari, hivyo wamemuomba Mkurugenzi  kama ndani ya shule ya Msingi Levolosi kuna eneo kubwa ambalo kuna uwezekano wa kujenga Shule  ya Sekondari kwa kiwango Cha ghorofa, wataalamu wa halmashauri  watembelee eneo husika na kufanya upembuzi  yakinifu.

“Wafanyabiashara wote  Wajenge  tabia ya kulipa kodi kwa wakati iIi Kuepuka usumbufu kwa Serikali na waache tabia ya kulipa kodi kwa njia ya zisizo sahihi, tunawaomba wafuate utaratibu uliowekwa na serikali au Halmashauri” alisema Bi. Aisha wakati akisoma taarifa yake kwa Mkurugenzi wa Jiji

Aidha aliongeza kwa kusema kuwa   Miundo mbinu katika Soko la Kirombero iboreshwe hasa kwa upande wa mfumo wa maji taka na  Ukuta wa soko la vitunguu Kilombero ujengwe kwa kuongezwa urefu kwa ajili ya usalama wa bidhaa hiyo .

Naye dr. madeni aliwashukuru viongozi hao wa ccm kata ya levolosi kwa kumtembelea na kuahidi kuzifanyi akazi changamoto zote walizoziainisha.

“kitu kimoja tu ninachowaomba viongozi wenzangu, isiwe tu kuunga mkono operesheni ya mapato kwa mameno bali ningependa operesheni zijazo tuambatane bega kwa bega hadi kwa wananchi kuhamasisha ulipaji wa kodi na ushuru kwani mapato haya ndio mhimili mkuu wa Halmashauri yetu na Taifa kwa ujumla ” Alisema Dr. Madeni







Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa