• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wadau wa Elimu waonywa udanganyifu wa mitihani

Posted on: July 28th, 2021

Na Mwandishi wetu.

WADAU  wa Elimu Halmashauri ya Jiji la Arusha wametakiwa kuwa makini kudhibiti wizi wa mitihani kwamba hakuna mwanya wa kurudia mitihani kwa shule zitakazobainika kuiba mitihani.

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima anawataka kudhibiti  udanganyifu katika mitihani ya mwisho katika shule zao ikiwa ni pamoja na kuzingatia maelekezo ya Serikali yanayotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa. 

Wadau na Wataalam hao ni  Wamiliki wa Shule, Wakuu wa Shule, Maafisa elimu kata, Wenyeviti na wajumbe wa bodi za shule  ambao walishiriki katika Mkutano maalum Uliofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Edmund Rice Sinon uliopo Jijini Arusha.

Dkt. John Pima amesema kwamba udanganyifu katika mitihani una madhara na unasababisha mtoto kupoteza ndoto ya kuendelea na masomo yake kwa wakati. 

"Msimamo wa Serikali kama kuna shule imejulikana kuwa imefanya udanganyifu katika mitihani, matokeo yakifutwa kwa darasa hilo, hawana nafasi nyingine ya kufanya mitihani. Kwa hiyo tumekuwa tumesababisha hasara kwa watoto Wenyewe na Serikali kwa Ujumla" alisema Dkt. Pima.

Aidha, Dkt Pima kwa kushirikiana na Kamati ya Mitihani ya Wilaya wamekuja na mkakati uitwao "No Zero Program" wenye lengo la kutokomeza sifuri katika shule zote za Serikali na binafsi zilizopo Halmashauri ya Jiji la Arusha huku akiwataka wadau hao kushirikiana na walimu mashuleni kwao kwa kuhakikisha matokeo ya kidato cha pili, cha nne na sita hakuna mwanafunzi atakayepata alama sifuri.

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Pima amewataka wadau hao kufuata maelekezo ya Serikali kwa kuchukua tahadhari zote mapema na kugundua mapema viashiria kwa kutoa taarifa juu ya majanga ya moto na majanga mengine mbalimbali katika shule zao na sio kusubiri mpaka majanga hayo kutokea huku akiwataka pia wadau hao kuendelea kuchukua tahadhari juu ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO19) kwa kufuata miongozo inayotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Afya.

Naye Afisa Elimu Msingi Jiji la Arusha, Ndg. Omary Kwesiga akizungumza katika Mkutano huo alimshukuru Dkt. Pima kwa maelekezo yake na kwamba ni jukumu lao sasa kuyafanyia kazi ili kuhakikisha Jiji la Arusha linaenda kufanya vizuri zaidi katika Shule za Msingi na Sekondari kwani nia wanayo uwezo wanao.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa