• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

WAKUU WA IDARA NA VITENGO HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA MPANGO MKAKATI MIAKA MITANO IJAYO

Posted on: November 19th, 2020

Wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri ya Jiji la Arusha wapatiwa mafunzo ya mpango mkakati miaka mitano ijayo.

Na Mwandishi wetu .

WAKUU wa Idara na wakuu wa vitengo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha wametakiwa kuandaa mpango Mkakati wa kipindi cha miaka (5) mitano ijayo katika kila idara ikiwa ni kuwezesha utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika Halmashauri hiyo ikiwa ni pamoja na kuhudumia wananchi wa Jiji la Arusha .

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Rebecca Mongi akizungumza na watumishi hao katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Arusha Jijini Arusha alisema kuwa mpango Mkakati huo utakuwa ni matokeo ya mafanikio na maendeleo katika taasisi hiyo kwa kipindi cha miaka (5) mitano ijayo.

Bi Mongi anasema  kuwa mpango kazi bora utawezesha miradi ya maendeleo kutekelezwa kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo na kudai kuwa  uongozi wa Halmashauri utaendelea kutoa fursa za mafunzo kwa watendaji ili kuwawezesha kuandaa mpango bora kwa faida ya jamii wanayoihudumia

‘’Nimefurahi kuwa mumeonyesha ukomavu wa hali ya juu kwa kukubali kuhudhuria mafunzo haya bila kuwa na kisingizio na udhulu wakutoshiriki ,naamini mpango ambao  mtaandaa utakuwa wa viwango vya juu’’  alisema Mongi.

Kwa upande wake  Mwezeshaji wa mafunzo hayo Abdallah Mvungi ambaye ni  Afisa Uwekezaji Jiji  la Arusha ,alisema kuwa taasisi yenye mpango mkakati bora na sahihi utaweza kufanikiwa na kuwaletea wananchi  wake maendeleo .

Bw,Mvungi alisema kuwa mafunzo ya mpango mkakati wa Halmashauri ya Jiji la Arusha utaleta tafsiri sahihi ya mafanikio kwa wananchi  wa Jiji la Arusha kwa kutekeleza miradi ambayo ni kero  na nikwazo kwa maendeleo ya jamii .

Naye  Kaimu Mchumi wa Jiji la Arusha  Mathias Shindika  akizungumzia mafunzo hayo alisema kuwa mafunzo hayo ni muhimu kwa watendaji wakuu wa Halmashauri lengo ikiwa ni kuwawezesha na kuwakumbusha namna bora ya kuandaa mpango mkakati.

Shindika alisema kuwa mafunzo waliyopata yamewafungua na kwamba wanatarajia kuona matokeo chanya ambayo watayaona wakati wakuandaa mpango kwa kila idara .

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa