• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wananchi wa Jiji la Arusha wapongeza Serikali kwa kuanza ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri

Posted on: May 22nd, 2021

Wananchi wa Jiji la Arusha wapongeza Serikali kwa kuanza ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri 

Na Mwandishi Wetu 

WANANCHI walioshiriki Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha la robo ya tatu wamepongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia  Suhulu Hassan kwa kutoa fedha kuanza ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri ya Jiji la Arusha kwamba Jengo lilopo kwa sasa  halina hadhi ya Jiji. 

Neema Laizer Mkazi wa Ungalimited akizungumza mara baaada kumalizika mkutano wa Baraza hilo uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha alisema kuwa kujengwa kwa jengo hilo kutaleta hadhi ya Jiji  kwa kuzingatia kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha iko katikakati ya mji wa Arusha. 

Bi  Laizer alisema kuwa Arusha ni mji wa Kitalii na hivyo unapaswa kuwa na hadhi kwa kupambwa na miundo mbinu bora ya barabara na majengo ya kisasa. 

Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqhe akielezea Jengo hilo alisema kuwa Baraza la madiwani la limepitisha ujenzi wa Jengo hilo na kwamba madiwani wa Halmashauri yao nia yao ni kuona Jiji la Arusha linaendelea kuwa namba moja. 

"Niseme kuwa  Jengo hili linajengwa katika eneo hili la Parking ya Halmashauri na kwakweli tunampongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake kwa kutupatia upendeleo huo ,nawahakikishia wananchi wa Jiji la Arusha kuwa Kazi inaendelea na Mimi na Baraza langu la Madiwani tutahakikisha kuwa ujenzi huu unakamilika kwa wakati ."alisema  Meya 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima alisema kuwa tayari Halmashauri hiyo imepokea kiasi cha Tshs milion 750 kutoka Serikali kuu  kwa ajili ya kuanza msingi wa Jengo hilo na kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha katika awamu hiyo ya msingi itatoa milion 160 ikiwa ni fedha zinazotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo. 

Dk.Pima alisema kuwa ujezi huo umeanza kwa maandalizi na kwamba nia ya Uongozi wa Halmashauri hiyo nikuona ujenzi huo unakamilika kwa wakati.

Kimsingi alisema kwa sasa watumishi wa Halmashauri hiyo wanapata adha ya ofisi na kwamba ofisi zao ziko katika maeneo mbali mbali kama vile Njiro, Depot Kilombero na kuwa baada yakukamilika kwa ujezi wa jengo hilo watumishi watakaa pamoja .

Dk.Pima alisema kuwa Jengo hilo linatarajia la gorofa sita na litaweza kukidhi mahitaji ya ofisi za watumishi zinazohitajika. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa