• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa mkoa wa Arusha waaswa kuzingatia kanuni na miongozo ya uchaguzi wa serikali za mitaa

Posted on: September 12th, 2019

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Eng. Joseph Nyamhanga amehudhuria zoezi la kuapishwa kwa watumishi saba  walioteuliwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 leo Tarehe 12 Septemba 2019 Jijini Arusha.

Watumishi hao  walioteuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)  Mhe. Suleiman Jaffo (MB) kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa mkoa wa Arusha ni Msena Nyamwiling’i Bina, Mkuu wa idara ya utumishi na utawala halmashauri ya Jiji la Arusha, Hussein Ramadhan Mgewa, Mkuu wa idara ya elimu msingi halmashauri ya wilaya ya Arusha, Pius John Haule, Mkuu wa kitengo cha uchaguzi halmashauri ya wilaya ya Karatu, Natang’adauki Zakayo Mollel,  Mkuu wa idara ya elimu msingi halmashauri ya wilaya ya Longido, Jonathan Peter Kima, Mkuu wa  kitengo cha sheria halmashauri ya wilaya ya Meru, Theresia Evarist Kyara, mkuu wa idara ya mipango, takwimu na ufuatiliaji halmashauri ya wilaya ya Monduli na Emmanuel Joseph Mhando, mkuu wa idara ya utawala na utumishi halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro.

Zoezi la kuapisha watumishi hao limeongozwa na Hakimu Mkazi wilaya ya  Arusha Mhe. Pendo Mushi.

Sambamba na zoezi la kuapishwa, watumishi hao walikabidhiwa vifaa vya uchaguzi ambavyo ni  Tangazo la uchaguzi wa serikali za mitaa, kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa, Muongozo wa uchaguzi wa serikali za mitaa  na ramani ya mipaka.

Akizungumza baada ya kuapishwa kwa wasimamizi hao Eng. Nyamhanga ameiagiza sekretarieti ya mkoa wa Arusha, wakurugenzi wa halmashauri  na makatibu tawala wa wilaya kusimamia zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa kikamilifu na kuwapa ushirikiano mzuri wasimamiza wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Pia ameagiza migogoro baina ya wananchi na viongozi itatuliwe na amani idumishwe katika jamii ili kuhakikisha zoezi la uchaguzi linafanyika na kumalizika vyema.

Pichani: Msena Nyamwiling’i Bina, Mkuu wa idara ya Utumishi na Utawala Halmashauri ya Jiji la Arusha akiapishwa 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa