• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wazazi na walezi waaswa kutoa ushirikiano kwa walimu ili kuinua ufaulu kwa wanafunzi

Posted on: October 20th, 2018

Katika kuelekea mitihani ya kidato cha Nne Afisa Elimu Sekondari Jiji la Arusha Bw. Valentine Makuka amewaasa wazazi na walezi kutoa ushirikiano kwa walimu ili kuinua ufaulu kwa wananfunzi  

Bw. Makuka ambaye ndie alikuwa mgeni rasmi mahafali ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Moshono iliyopo Jijini Arusha ametoa rai hiyo  wakati alipokuwa akizungumza na wazazi, wanafunzi pamoja na waalimu wa shule  hiyo wakati wa mahafali hayo yaliyofanyika  hapo jana Tarehe 19 October 2018.  

Bw. Makuka amesema kuwa kuna baadhi ya wazazi na walezi hawatoi ushirikiano wa kutosha kwa walimu katika kufatilia mienendo ya wananfunzi matokeo yake wanawaachia walimu peke yao katika kusimamia malezi ya watoto jambo ambalo limekuwa likichangia kwa asilimia kubwa wanafunzi kufeli kwani wanakosa unagalizi wa pande zote mbili.

 “ Napenda kutoa pongezi kwa wanafunzi wote mnaotarajia kufanya mitihani yenu  ya kidato cha nne kwa hatua kubwa na nzuri mliyofikia kwani wapo baadhi ya  wanafunzi walioshindwa kuendelea na masomo  kwa sababu mbalimbali ikiwemo mimba, makundi mabaya ya mitaani, magonjwa na hata vifo, mzingatie mliyoelekezwa na walimu wenu na hatimaye muweze kufaulu vizuri na kuiletea sifa nzuri shule yetu”. Alisema bw. Makuka

“kwa walimu wote watakaochangia wanafunzi kupata alama ya F katika masomo yao  kwa asilimia zaidi ya 50 katika mitihani, naomba msahau na mjifute katika mikakati ya kupanda vyeo, huo ndio mpango mkakati wa  kuhakikisha wanafunzi wanafaulu na sisi walimu tunawajibika” aliongeza Afisa Elimu huyo

Pia ameongeza kwa kusema kuwa walimu kwa kushirikiana na vyombo vya habari  kuna mkakati wa kuazisha kampeni maalumu ya kuongeza uwezo wa matumizi ya lugha ya kingereza kwa kuendesha midahalo kwa wanafunzi wa shule zote za serikali zilizopo Jiji Arusha.

Sherehe za mahafali ya kidato cha nne hufanyika kila mwaka katika viwanja vya shule hiyo ya Moshono na  kwa mwaka huu wa 2018 idadi ya wahitimu ni wanafunzi 75.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa