• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Waziri Kairuki: Halmashauri fuateni miongozo ya utekelezaji wa miradi

Posted on: December 13th, 2022

Waziri Kairuki: Halmashauri fuateni miongozo ya utekelezaji wa miradi. 

  • azitaka kuzingatia taratibu za manunuzi. 

Na Mwandishi Wetu 

Arusha. 

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Angellah Kairuki amezitaka Halmashauri zote nchini kufuata maelekezo kwa mujibu wa namna zilivyowafikia na kufuata taratibu za manunuzi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuepuka hoja za ukaguzi kwani kwa kufanya hivyo itakuwa na kurudisha nyuma kazi kubwa inayofanywa na Serikali. 

Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Disemba 13,2022 alipokuwa akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa timu za utekelezaji wa mradi wa BOOST unaolenga kuboresha mazingira ya ufundishaji na Ujifunzaji ndani ya Nje ya Shule kwa Elimu ya awali na Msingi ngazi ya Mikoa na Halmashauri hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa shule ya sekondari Ilboru ya Mkoani Arusha. 

Mhe. Kairuki amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali za Halmashauri ambao pia ni wasimamizi wa miradi kutokwenda kinyume na maelekezo ili kuepuka kupoteza muda na kuleta migogoro na mifarakano isiyo ya lazima. 

"Nitoe rai kama unaona kuna namna nzuri ya kutekeleza kabla ya kubadilisha basi Wasiliana na TAMISEMI kwa maelekezo sahihi, kwa maana dhana ya ushirikishwaji ni jambo la muhimu ili kuepuka sintofahamu zisizo za lazima" amesema Waziri Kairuki. 

Katika hatua nyingine amezielekeza Halmashauri kufuata taratibu stahiki za manunuzi ili kuepuka hoja za ukaguzi, akiwasisitiza kutekeleza usimamizi bora  wa fedha na mapato. 

Naye Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Ndg Ramadhan Kailima amesema kuwa Mradi wa BOOST ni wa miaka 5 (Mitano) 2021/2022 hadi 2025/2026 wenye lengo la kuboresha mazingira ya ufundishaji na Ujifunzaji ndani ya Nje ya Shule kwa Elimu ya awali na Msingi utagharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 1.15 kwa ujenzi wa Madarasa 12,000 nchi nzima. 

Aidha, Ndg. Kailima amependekeza kila Halmashauri izingatie maelekezo ya mradi huo wa BOOST na kuwa ikiwezekana uwe ajenda ya kudumu kwenye Timu za Uongozi (CMT) pamoja na Baraza la Madiwani. 

Awali, Mkurungenzi wa Elimu (TAMISEMI) Ndg. Vincent Kayombo akitoa taarifa fupi ya mradi huo amesema mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo watendaji wa ngazi mbalimbali ili kuwezesha kufikia malengo yanayotakiwa. 

Mafunzo hayo ya Mradi huo wa BOOST yanafanyika Mikoa yote 26 na Halmashauri zote 184 shule za serikali na jumla ya Washiriki 274 watapatiwa mafunzo hayo ya siku mbili nchi nzima. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa