• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

WAZIRI UMMY AIPONGEZA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA KUSHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA MASHINDANO YA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: December 17th, 2019

Halmashauri ya Jiji la Arusha yapokea tuzo kwa Kushika nafasi ya pili kitaifa katika mashindano ya usafi wa Mazingira ya mwaka 2019.

Wizara ya Afya, maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto ikishirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI imekuwa ikiratibu mashindano ya usafi wa Mazingira na kwa mwaka huu mashindano hayo yamefanyika na washindi wamepatikana kwa ngazi mbalimbali ambapo Jiji la Arusha limeshindanishwa katika kundi la Halmashauri za Majiji na Manispaa 25 ambapo Jiji la Arusha limeshika nafasi ya Pili nakupata asilimia 90.8 ikiongozwa na Halmashauri ya manispaa ya Moshi iliyoshika nafasi ya kwanza  kwa kupata asilimia 91.5 na Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kushika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 78.

Tuzo hii imetunukiwa na waziri wa Afya,maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu katika maadhimisho ya wiki la usafi  wa mazingira na mkutano wa maafisa Afya wa mikoa, Halmashauri na wadau uliofanyika Tarehe 16-18 Desemba 2019 katika ukumbi wa Landsmark Jijini Dodoma na kauli mbiu ya maadhimisho hayo ikiwa ni “Huduma bora za Afya mazingira na usafi ni kichocheo muhimu cha uchumi endelevu”

Afisa Afya na Mazingira Jiji la Arusha Bw. James Lobikoki amebainisha kuwa Jiji limeendelea kushika nafasi hii ya pili kwa kipindi kingine mfululizo kwani kwa mwaka 2018 Jiji la Arusha lilishika nafasi ya pili katika mashindano ya majiji hivyo kwa mwaka huu mashindano hayo yamechukua sura mpya na kuboreshwa zaidi hivyo mchuano kuwa mkali kwani sio tu kushindanishwa na majiji bali kwa Halmashauri za majiji na manispaa 25.

Ndg . James ameeleza kuwa mashindano haya yanafanyika kwa kuzingatia vitu vingi ikiwa ni pamoja na kuzingatia usafi wa mazingira kwa ujumla, uzoaji na usafirishaji wa taka, ushirikishwaji wa Jamii na vikundi mbalimbali na taasisi katika suala la usafi wa mazingira, bajeti inayotengwa kwaajili ya suala zima la usafi wa mazingira, uhifadhi salama wa taka, upatikanaji wa maji safi na salama, ujenzi wa vyoo  na matumizi ya vyoo pamoja na usafi wa vyoo hivyo.

Sambamba na hilo Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru iliyopo Jijini Arusha imeshika nafasi ya kwanza katika kundi la Hospitali za Mikoa nchini pia katika kundi la hospitali za binafsi Hospitali ya “Arusha Lutheran Medical Center” imeshika nafasi ya kwanza na katika kundi la Hoteli "Kibo Palace Hotel" nayo imeshika nafasi ya kwanza katika hoteli zote nchini pamoja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha nayo vilevile imeshika nafasi ya pili katika kundi la ofisi za wakuu wa mikoa.


Mwisho.


Pichani: Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Poul Matthysen akipokea tuzo ya Afya, Usafi na Mazingira kwa niaba Halmashauri ya Jiji la Arusha.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa