• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

WENYEVITI WA MITAA WAAPISHWA

Posted on: November 26th, 2019

Jumla ya wenyeviti 154 wameapishwa mapema leo Tarehe 26 Novemba 2019 katika ukumbi wa shule ya Sekondari Arusha  na Hakimu wa Mahakama ya mwanzo Mhe. Goodluck Mbowe.

Akizungumza katika hafla hiyo msimamizi  wa uchaguzi Wilaya ya Arusha Ndg.Msena Bina amewapongeza wenyeviti hao na kuwasihi kusimamia haki na sheria, kufanya kazi kwa uaminifu kwani ndio walioonekana wanafaa kwenda na kasi ya Mh Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Hata hivyo hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kisiasa ambao ni Katibu wa CCM Wilaya Ndg. Denis Mwita Zakaria, Mwenyekiti wa madiwani CCM Mhe. Tojo,  Ndg. Elirehema Nko katibu wa Madiwani CCM pamoja na Ndg. Issa Said Omary mjumbe wa kamati ya madiwani CCM.

Ndg.Denis Mwita  ambaye ni katibu wa CCM Wilaya amewaahidi wenyeviti  hao kupewa ushirikiano na kamati ya siasa ya Wilaya na kujenga mahusiano mazuri na watendaji wa serikali za Mitaa kwani katika Mitaa mingi maendeleo  yanakwama kwa sababu ya mahusiano mabaya baina ya viongozi wa Mitaa husika  na  baada ya kuapishwa  wanastahili kupewa mafuzo ambapo msimamizi wa uchaguzi wilaya Ndg. Msena amewaambia mafuzo watapata katika chuo cha Hombolo cha Serikal za Mitaa .

Aidha Ndg.Msena Bina amewaainishia wenyeviti  majukumu  yao ikiwa ni pamoja na kuwa wenyeviti wa mikutano yote ya mtaa, Kusuluhisha migogoro midogomidogo ambayo haistahili kuitishwa mikutano ya kamati za mitaa au kupelekwa kwenye baraza la kata, kuwa wasemaji wa Mitaa, kuhimiza wakazi wa Mitaa kushiriki kwenye shughuli za maendeleo na sherehe za kitaifa pamoja na mikutano ya hadhara  itakayo andaliwa katika  mtaa, halmashauri ya Jiji au Serikali kwa ujumla.

 Kuwa wawakilishi wamitaa kwenye kamati ya maendeleo ya kata, Kutekeleza kazi watakazopewa na kamati ya Mtaa, mkutano wa mtaa  pamoja na kamati ya maendeleo ya Kata yaani yale maadhimio yanayotokanana katika vikao vyote vya kata. Kusimamia utekelezaji wa kazi na majukumu ya kamati ya Mtaa, kusimamia utunzaji wa Rejesta za wakazi wote  wa mtaa na kuwafahamu  wakazi wa Mitaa yao  bila kubagua dini, kabila, chama au rangi ilimradi ni mtanzania  na kwa yule asiye mtanzania apelekwe kwenye vyombo vya usalama.


Mwisho.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa