• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Zaidi ya wakazi 776 wa Kata ya Murriet na Terrat Jijini Arusha wapatiwa huduma ya uchunguzi na matibabu ya macho bila malipo

Posted on: February 4th, 2019

Halmashauri ya jiji la Arusha kwa kushirikiana na Lions Club Arusha Arusha imetoa huduma ya uchunguzi na matibabu ya macho bila malipo kwa zaidi ya wakazi 776 wa Kata ya Murriet na Terrat  Jijini Arusha.

Huduma hiyo imetolewa  Tarehe 2-3 mwezi  Februari  mwaka huu katika kituo cha Afya Murriet ambapo matibabu hayo yalikwenda sambamba na utoaji wa dawa na  miwani bure kwa wagonjwa waliogundulika kuwa na matatizo ya macho yanayohitaji miwani.

Pichani: Moja ya wakazi wa kata ya Murriet akipokea ushauri wa daktari wa kituo cha Afya Murriet baada ya kufanyiwa vipimo vya presha na sukari wakati wa zoezi la uchunguzi na matibabu ya macho.

..............................................................................................................................................................................................................................

Akizungumza Wakati wa zoezi hilo Bw. Fazal Munisi ambaye ni mmoja ya wawakilishi wa Lions Club International alisema kuwa asilimia kubwa ya watu kwenye jamii  hawajajiwekea utaratibu wa kupima afya ya macho mara kwa mara hali inayopelea madhara makubwa endapo mtu asipopata matibabu kwa wakati hivyo  wameona ni vyema kujitolea huduma hiyo muhimu bila malipo kwa wananchi wa kata hizo mbili.
“Shukran zetu za dhati ziende kwa uongozi wa Mkoa wa Arusha kupitia kwa Mganga Mkuu wa Mkoa kwa kutupa kibali cha kuendesha zoezi hili katika kata hizi mbili za Jiji la Arusha ambapo hadi kufikia mwisho wa zoezi hili tunatarajia kutoa matibabu kwa zaidi ya wagonjwa 700”.  alisema Bw. Munisi

Pichani: Watumishi wa kituo cha Afya Murriet wakiandikisha wananchi waliojitokeza katika zoezi la uchunguzi na matibabu ya macho.

................................................................................................................................................................................


Pia aliongeza kwa kuyataka mashirika na makampuni yasiyo ya kiserikali kujitolea kwa wingi kutoa huduma za afya kwa wananchi wa hali ya chini ambapo pia amebainisha kuwa licha ya matibabu hayo wanayotoa pia watagharamia gharama zote za upasuaji wa macho zitakazofanyika katika hospitali ya St. Elizabeth iliyopo Jijini Arusha  pamoja na hospitali ya rufaa ya  KCMC iliyopo wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwa wagonjwa waliofanyiwa vipimo katika zoezi hilo.


Pichani: baadhi ya wananchi waliogundulika na matatizo mbalimbali ya mamcho wakisubiri kuingia katika chumba cha dawa na miwani wakati wa zoezi hilo.

...........................................................................................................................................................................................................................................................................

Naye Mratibu wa afya ya macho Mkoa wa Arusha Bi. Mwanahawa Kombo alisema kuwa amefarijika na muitikio mkubwa wa watu katika zoezi hilo na amesema kuwa kundi kubwa linaloathirika zaidi na matatizo ya macho ni watu wenye umri wa miaka 60 na kuendelea  na kundi jingine ni watoto wadogo kusumbuliwa na aleji zinazotokana na sababu mbalimbali.Zoezi hilo lililofanyika  Tarehe 2-3 mwezi  Februari  mwaka huu  katika kituo cha afya Murriet linatarajiwa kufanyika  tena mwezi April mwaka huu  kwa  awamu ya pili huku vituo vya  afya Kaloleni na Levolosi vikiendelea kutoa huduma ya uchunguzi na matibabu ya macho kama kawaida.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa