• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara katika jiji la Arusha

Posted on: April 27th, 2019

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mwita Waitara (Mb) leo Tarehe 27/04/2019  amefanya ziara katika jiji la Arusha kwa lengo la kutembelea miradi ya elimu na kuongea na watumishi wa kada ya elimu pamoja na makao makuu ya jiji la Arusha.

Katika ziara yake  Mhe. Waitara ametembelea ujenzi wa  jengo la utawala na matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Suye na kuangalia maendeleo ya ujenzi unaotokana na   fedha za mpango wa elimu kwa matokeo (EP4R)  wenye thamani ya shilingi milioni 56 ambapo alipongeza namna ujenzi unavyokwenda vizuri.

Sambamba na ziara yake pia Mhe. Waitara  alipata fursa ya kuongea na watumishi wa kada ya elimu pamoja na makao makuu ya jiji la Arusha ambapo alisisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa wananchi katika miradi ya maendeleo.

“Serikali inatoa fedha nyingi kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezeka hususan ya elimu hivyo rai yangu kwa viongozi wa halmashauri ni kuwashirikisha wananchi ili wawe sehemu ya maendeleo ya miradi hiyo” alisema Naibu Waziri huyo

“Licha ya wananchi kujiona ni  sehemu ya miradi lakini pia  nirahisi wao kujua ni nini serikali inafanya katika maeneo yao na itawapelekea wao  kuitunza na kuithamini miradi hiyo” aliongeza mhe. Waitara.

Sambamba na hayo pia Mhe. Waitara amesisitiza fedha zinazopelekwa  katika halmashauri zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa na endapo kutatokea vipaumbele vingine vinavyopelekea kubadili matumizi ya fedha hizo au fedha zisipokidhi mahitaji ya miradi husika  basi taarifa ipelekwe mapema katika wizara husika ili kukwepa hoja za ukaguzi endapo miradi itashindwa kutekelezeka  au kukamilika.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa