• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Zoezi la wiki ya chanjo Jijini Arusha, Dc Arusha Mjini awataka wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi katika vituo vya kutolea huduma

Posted on: May 6th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Arusha Mjini Mhe. Gabriel Daqaro amewataka wazazi na walezi kuwaleta wototo wote ambao hawajakamilisha chanjo za utotoni na wale walio hasi chanjo katika vituo vya afya vinavyotoa chanjo ili kupatiwa huduma muhimu ya chanjo inayotolewa bure nchi nzima.

Ameyasema hayo leo tarehe 06/05/2019 wakati akizindua zoezi la wiki ya chanjo  katika kituo cha afya  Ngarenaro kilichopo kata ya Levolosi jijini Arusha, ambapo zoezi hilo  linatarajiwa kumalizika tarehe 12/05/2019.

“Lengo la zoezi hili ni kuwafikia watoto wote ambao hawakukamilisha au hawajakamilisha chanjo za  utotoni hivyo niwaombe wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi katika vituo vyetu vya afya mkiwa na watoto wenu ili waweze kukamilisha chanjo zote zinazohitajika kwa mujibu wa sheria na Sera ya afya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”. Alisema Mhe. Daqarro

Naye Mratibu wa Chanjo Jiji la Arusha Bw. Didas Misana amesema kuwa zoezi la wiki ya chanjo  kwa watoto hufanyika kila wiki ya mwisho wa mwezi  Aprili kila mwaka, lengo ni kuwakinga watoto dhidi ya magonjwa kama surua, kifadulo, dondakoo, pepopunda, nimonia, polio (ugonjwa wa kupooza), magonjwa ya kuharisha kwa watoto na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 14.

“Zoezi la chanjo linahusisha watoto wenye umri kuanzia miezi sifuri hadi miaka mitano isipokuwa chanjo ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi inahusisha wasichana waliokamilisha umri wa miaka 14 ” alisema Bw.Didas

Vituo vyote vinavyotoa huduma ya chanjo vitakuwa vikifunguliwa kuanzia saa moja na nusu asubuhi na kufungwa saa kumi na nusu jioni. Na kauli mbiu ya mwaka huu inasema

“ CHANJO NI KINGA KWA PAMOJA TUWAKINGE ”

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa