Posted on: May 7th, 2018
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji ka Arusha Athumani Kihamia ametakia kheri wanafunzi wa kidato cha Sita wanaoendelea kufanya mitihani katika shule mbalimbali zilizoko katika Jiji hilo.
Akizungumza...
Posted on: May 9th, 2018
Mradi wa kivuko cha waenda kwa miguu kilichopo mto ngarenaro kata ya Ngarenaro mtaa wa kambi ya fisi. Kivuko hiki ni kiunganishi muhimu kati ya mtaa wa Olmatejoo B na kata ya Sakina.
...
Posted on: May 1st, 2018
Mkuu wa mkoa wa Arusha ambae pia ni kiongozi mkuu wa shughuli za kiserikali ngazi ya mkoa Mh. Mrisho Gambo amehutubia maelfu ya wafanyakazi katika mahadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mei Mosi-...